Isaya 44:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+ Isaya 48:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita. Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+ Ufunuo 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+ Ufunuo 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akaniambia: “Yametimia! Mimi ndiye Alfa na Omega,* mwanzo na mwisho.+ Yeyote aliye na kiu nitampa maji bure* kutoka kwenye chemchemi* ya maji ya uzima.+
6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+Yehova wa majeshi, anasema hivi: ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+ Hakuna Mungu ila mimi.+
12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita. Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+
8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+
6 Naye akaniambia: “Yametimia! Mimi ndiye Alfa na Omega,* mwanzo na mwisho.+ Yeyote aliye na kiu nitampa maji bure* kutoka kwenye chemchemi* ya maji ya uzima.+