Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova, Mfalme wa Israeli+ na Mkombozi wake,+

      Yehova wa majeshi, anasema hivi:

      ‘Mimi ndiye wa kwanza na mimi ndiye wa mwisho.+

      Hakuna Mungu ila mimi.+

  • Isaya 48:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nisikilize mimi, Ee Yakobo, na Israeli, ambaye nimemwita.

      Mimi ni yuleyule.+ Mimi ndiye wa kwanza; mimi pia ndiye wa mwisho.+

  • Ufunuo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Mimi ndiye Alfa na Omega,”*+ asema Yehova* Mungu, “Yule aliyeko na aliyekuwako na anayekuja, Mweza-Yote.”+

  • Ufunuo 21:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akaniambia: “Yametimia! Mimi ndiye Alfa na Omega,* mwanzo na mwisho.+ Yeyote aliye na kiu nitampa maji bure* kutoka kwenye chemchemi* ya maji ya uzima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki