Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 36:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Wewe ndiye chanzo cha uhai;+

      Kwa nuru yako tunaweza kuona nuru.+

  • Isaya 55:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+

      Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle!

      Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+

  • Ufunuo 7:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu Mwanakondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji* ya uzima.+ Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+

  • Ufunuo 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki