Zaburi 36:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wewe ndiye chanzo cha uhai;+Kwa nuru yako tunaweza kuona nuru.+ Isaya 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+ Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle! Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+ Ufunuo 7:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa sababu Mwanakondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji* ya uzima.+ Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+ Ufunuo 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+
55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+ Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle! Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+
17 kwa sababu Mwanakondoo,+ aliye katikati ya kile kiti cha ufalme, atawachunga+ na kuwaongoza kwenye chemchemi za maji* ya uzima.+ Na Mungu atafuta kila chozi katika macho yao.”+
22 Naye akanionyesha mto wa maji ya uzima,+ mwangavu kama fuwele, ukitiririka kutoka katika kiti cha ufalme cha Mungu na cha Mwanakondoo+