Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani? Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Itume nuru yako na kweli yako.+ Navyo viniongoze;+Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+ Yakobo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila zawadi njema na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ ambaye habadiliki au kugeuka kama kivuli.*+ 1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani?
3 Itume nuru yako na kweli yako.+ Navyo viniongoze;+Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+
17 Kila zawadi njema na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ ambaye habadiliki au kugeuka kama kivuli.*+
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ na watu walio mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”*+ za Yule aliyewaita kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+