Zaburi 23:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hata nikitembea katika bonde lenye kivuli kizito,+Siogopi madhara yoyote,+Kwa maana wewe uko pamoja nami;+Fimbo yako na gongo lako hunipa uhakika.* Waroma 8:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+ Waebrania 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+
4 Hata nikitembea katika bonde lenye kivuli kizito,+Siogopi madhara yoyote,+Kwa maana wewe uko pamoja nami;+Fimbo yako na gongo lako hunipa uhakika.*
31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+