Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 23:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Hata nikitembea katika bonde lenye kivuli kizito,+

      Siogopi madhara yoyote,+

      Kwa maana wewe uko pamoja nami;+

      Fimbo yako na gongo lako hunipa uhakika.*

  • Waroma 8:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Basi, tuseme nini kuhusu mambo haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani atakayekuwa dhidi yetu?+

  • Waebrania 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ili tuwe hodari na kusema: “Yehova* ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu atanifanya nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki