1 Mambo ya Nyakati 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+ Zaburi 78:68, 69 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 68 Lakini alichagua kabila la Yuda,+Mlima Sayuni, anaoupenda.+ 69 Alipafanya mahali pake patakatifu pawe mahali pa kudumu kama mbingu,*+Kama dunia ambayo ameiimarisha milele.+
16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+
68 Lakini alichagua kabila la Yuda,+Mlima Sayuni, anaoupenda.+ 69 Alipafanya mahali pake patakatifu pawe mahali pa kudumu kama mbingu,*+Kama dunia ambayo ameiimarisha milele.+