1 Wafalme 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati huo Sulemani aliwakusanya+ wazee wa Israeli—viongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli.+ Wakaja kwa Mfalme Sulemani huko Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+ 1 Mambo ya Nyakati 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akaendelea kujijengea nyumba katika Jiji la Daudi, akatayarisha mahali kwa ajili ya Sanduku la Mungu wa kweli na kupiga hema kwa ajili yake.+
8 Wakati huo Sulemani aliwakusanya+ wazee wa Israeli—viongozi wote wa makabila, wakuu wa koo* za Israeli.+ Wakaja kwa Mfalme Sulemani huko Yerusalemu ili kuliondoa sanduku la agano la Yehova katika Jiji la Daudi,+ yaani, Sayuni.+
15 Naye akaendelea kujijengea nyumba katika Jiji la Daudi, akatayarisha mahali kwa ajili ya Sanduku la Mungu wa kweli na kupiga hema kwa ajili yake.+