Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mfalme alipoanza kuishi katika nyumba yake mwenyewe*+ na baada ya Yehova kumpumzisha kutokana na maadui wake wote waliomzunguka, 2 mfalme alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku Sanduku la Mungu wa kweli likikaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+

  • Zaburi 132:1-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 132 Ee Yehova, mkumbuke Daudi

      Na mateso yake yote;+

       2 Jinsi alivyomwapia Yehova,

      Jinsi alivyomwekea nadhiri hii Mwenye Nguvu wa Yakobo:+

       3 “Sitaingia katika hema langu, nyumbani mwangu.+

      Sitalala kwenye kochi langu, kitandani mwangu;

       4 Sitayaruhusu macho yangu yalale usingizi,

      Wala kope zangu kusinzia

       5 Mpaka nitakapopata mahali kwa ajili ya Yehova,

      Makao bora* kwa ajili ya Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki