2 mfalme alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku Sanduku la Mungu wa kweli likikaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+
12 akawaambia: “Ninyi ndio viongozi wa koo* za Walawi. Jitakaseni, ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe Sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimetayarisha kwa ajili yake.
45 Nao mababu zetu wakalimiliki na kulileta pamoja na Yoshua kwenye nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Nalo likakaa huko mpaka siku za Daudi. 46 Alipata kibali machoni pa Mungu naye akaomba pendeleo la kujenga makao kwa ajili ya Mungu wa Yakobo.+