Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 mfalme alimwambia hivi nabii Nathani:+ “Mimi hapa ninaishi katika nyumba ya mierezi+ huku Sanduku la Mungu wa kweli likikaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+

  • 1 Wafalme 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Moyo wa baba yangu Daudi ulitamani kujenga nyumba kwa ajili ya jina la Yehova Mungu wa Israeli.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kisha Daudi akawakusanya Waisraeli wote Yerusalemu ili kulipandisha Sanduku la Yehova na kulileta mahali alipotayarisha kwa ajili yake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 akawaambia: “Ninyi ndio viongozi wa koo* za Walawi. Jitakaseni, ninyi na ndugu zenu, nanyi mlipandishe Sanduku la Yehova, Mungu wa Israeli mpaka mahali ambapo nimetayarisha kwa ajili yake.

  • Matendo 7:45, 46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nao mababu zetu wakalimiliki na kulileta pamoja na Yoshua kwenye nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Nalo likakaa huko mpaka siku za Daudi. 46 Alipata kibali machoni pa Mungu naye akaomba pendeleo la kujenga makao kwa ajili ya Mungu wa Yakobo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki