Zaburi 36:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wewe ndiye chanzo cha uhai;+Kwa nuru yako tunaweza kuona nuru.+ Zaburi 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Itume nuru yako na kweli yako.+ Navyo viniongoze;+Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+ Zaburi 119:105 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 105 Neno lako ni taa ya mguu wangu,Na nuru ya njia yangu.+
3 Itume nuru yako na kweli yako.+ Navyo viniongoze;+Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+