Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Itume nuru yako na kweli yako.+

      Navyo viniongoze;+

      Viniongoze kwenye mlima wako mtakatifu na kwenye hema lako tukufu la ibada.+

  • Methali 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Kwa maana amri hiyo ni taa,+

      Na sheria ni nuru,+

      Na makaripio ya nidhamu ndiyo njia ya uzima.+

  • Isaya 51:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Nisikilizeni, enyi watu wangu,

      Na mnitegee sikio, taifa langu.+

      Kwa maana sheria itatoka kwangu,+

      Nami nitaifanya haki yangu kuwa nuru kwa watu.+

  • Waroma 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa ili kutufundisha,+ ili kupitia uvumilivu wetu+ na kupitia faraja kutoka kwa Maandiko tuwe na tumaini.+

  • 2 Timotheo 3:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu+ nalo ni lenye faida kwa kufundisha,+ kwa kukaripia, kwa kunyoosha* mambo, kwa kutia nidhamu katika uadilifu,+ 17 ili mtu wa Mungu awe na uwezo kamili, akiwa na vifaa kamili kwa ajili ya kila kazi njema.

  • 2 Petro 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi tuna neno la kinabii likiwa limefanywa hakika zaidi, nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza (mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze) mioyoni mwenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki