-
2 Petro 1:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
19 Kwa sababu hiyo tuna neno la unabii likiwa limefanywa hakika zaidi; na mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile kwa taa yenye kung’aa mahali penye giza, hadi siku ipambazuke na nyota ya mchana izuke, katika mioyo yenu.
-