- 
	                        
            
            2 Petro 1:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
- 
                            - 
                                        19 Kwa sababu hiyo tuna neno la unabii likiwa limefanywa hakika zaidi; na mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile kwa taa yenye kung’aa mahali penye giza, hadi siku ipambazuke na nyota ya mchana izuke, katika mioyo yenu. 
 
-