19 Basi tuna neno la kinabii likiwa limefanywa hakika zaidi, nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza (mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze) mioyoni mwenu.
19 Kwa hiyo tuna neno la kinabii+ likiwa limefanywa hakika zaidi;+ nanyi mnafanya vema kulikazia uangalifu kama vile taa+ inayoangaza mahali penye giza, mpaka siku ipambazuke na nyota ya mchana+ ichomoze, katika mioyo yenu.