Yohana 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba ataituma katika jina langu, hiyo itawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+ 2 Petro 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa* na roho takatifu.+
26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba ataituma katika jina langu, hiyo itawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
21 Kwa maana unabii haukuletwa wakati wowote kwa mapenzi ya mwanadamu,+ bali wanadamu walisema yaliyotoka kwa Mungu kama walivyoongozwa* na roho takatifu.+