13 Hata hivyo, huyo* atakapokuja, roho ya ile kweli,+ atawaongoza ninyi kwenye kweli yote, kwa maana hatasema kwa uamuzi wake mwenyewe, bali atasema mambo anayosikia, naye atawatangazia mambo yanayokuja.+
27 Kutiwa mafuta ambako mlipokea kutoka kwake+ hukaa ndani yenu, na hamhitaji kufundishwa na yeyote; lakini kutiwa mafuta kutoka kwake kunawafundisha kuhusu mambo yote,+ na ni kweli si uwongo. Kama kulivyowafundisha ninyi, kaeni katika muungano na yeye.+