Maelezo ya Chini
Maneno “huyo” na “naye” katika mstari wa 13 na 14 yanarejelea “msaidizi” aliyetajwa katika mstari wa 7. Yesu alitumia neno “msaidizi” (ambalo lina jinsia ya kiume katika Kigiriki) alipoipa roho takatifu sifa ya mtu ingawa ni nguvu isiyo na utu, na katika Kigiriki haina jinsia ya kiume wala ya kike.