4 Alipokuwa akikutana nao aliwaagiza hivi: “Msiondoke Yerusalemu,+ bali endeleeni kusubiri kile ambacho Baba ameahidi,+ ambacho mlinisikia nikisema kukihusu; 5 kwa maana Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ baada ya siku chache.”