Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoeli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha nitaimimina roho yangu+ juu ya kila aina ya mwili,

      Na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii,

      Na wanaume wenu wazee wataota ndoto,

      Na wanaume wenu vijana wataona maono.+

  • Yohana 14:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapa msaidizi* mwingine awe pamoja nanyi milele,+

  • Matendo 1:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Alipokuwa akikutana nao aliwaagiza hivi: “Msiondoke Yerusalemu,+ bali endeleeni kusubiri kile ambacho Baba ameahidi,+ ambacho mlinisikia nikisema kukihusu; 5 kwa maana Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ baada ya siku chache.”

  • Matendo 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi siku ya Sherehe ya Pentekoste+ ilipokuwa ikiendelea, wote walikuwa pamoja mahali palepale.

  • Matendo 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 wote wakajazwa roho takatifu,+ wakaanza kusema katika lugha* mbalimbali, kama roho ilivyowawezesha kusema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki