Marko 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niliwabatiza ninyi kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa roho takatifu.”+ Yohana 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba ataituma katika jina langu, hiyo itawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba ataituma katika jina langu, hiyo itawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+