-
Matendo 2:16-18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Badala yake, hili ndilo lililosemwa kupitia nabii Yoeli: 17 ‘“Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu juu ya kila aina ya mwili, na wana wenu na mabinti wenu watatoa unabii, nao wanaume wenu vijana wataona maono, na wanaume wenu wazee wataota ndoto,+ 18 na hata juu ya watumwa wangu wa kiume na watumwa wa kike nitaimimina sehemu ya roho yangu siku hizo, nao watatoa unabii.+
-