1 Wakorintho 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mtu mmoja hupewa maneno ya* hekima kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi kulingana na roho ileile, 1 Wakorintho 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 naye mwingine hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii, mwingine utambuzi wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha* mbalimbali,+ na mwingine fasiri ya lugha.+
8 Kwa maana mtu mmoja hupewa maneno ya* hekima kupitia roho, mwingine maneno ya ujuzi kulingana na roho ileile,
10 naye mwingine hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii, mwingine utambuzi wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha* mbalimbali,+ na mwingine fasiri ya lugha.+