Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mtahesabu siku 50+ mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, kisha mtamtolea Yehova toleo la nafaka iliyotoka kuvunwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 16:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Mtahesabu majuma saba. Mnapaswa kuanza kuhesabu majuma saba wakati mnapoanza kuvuna kwa mundu nafaka iliyo shambani.+ 10 Kisha mtafanya Sherehe ya Majuma kwa Yehova Mungu wenu+ kwa toleo la hiari linalotoka mkononi mwenu, kulingana na baraka ambazo Yehova Mungu wenu amewapa.+ 11 Nanyi mnapaswa kushangilia mbele za Yehova Mungu wenu, ninyi na wana wenu, mabinti wenu, watumwa wenu wa kiume, vijakazi wenu, Walawi walio ndani ya majiji* yenu, wakaaji wageni, mayatima, na wajane walio kati yenu, mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki