Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Zawadi ambayo kila mtu ataleta inapaswa kulingana na baraka ambazo Yehova Mungu wenu amempa.+

  • 1 Wakorintho 16:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Siku ya kwanza ya kila juma, kila mmoja wenu anapaswa kuweka kando kitu fulani kulingana na uwezo wake, ili michango isikusanywe nitakapofika.

  • 2 Wakorintho 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana ikiwa utayari upo kwanza, hukubalika zaidi kulingana na kile ambacho mtu anacho,+ si kulingana na kile ambacho mtu hana.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki