Luka 24:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Na tazama! Nitawatumia kile ambacho Baba yangu ameahidi. Hata hivyo, kaeni jijini mpaka mtakapovikwa nguvu kutoka juu.”+ Yohana 14:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba ataituma katika jina langu, hiyo itawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+
49 Na tazama! Nitawatumia kile ambacho Baba yangu ameahidi. Hata hivyo, kaeni jijini mpaka mtakapovikwa nguvu kutoka juu.”+
26 Lakini msaidizi, roho takatifu, ambayo Baba ataituma katika jina langu, hiyo itawafundisha mambo yote na kuwakumbusha mambo yote niliyowaambia.+