1 Yohana 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Huyu ndiye aliyekuja kupitia maji na damu, Yesu Kristo, si kwa maji tu,+ bali kwa maji na kwa damu.+ Na roho inatoa ushahidi,+ kwa sababu roho ndiyo kweli.
6 Huyu ndiye aliyekuja kupitia maji na damu, Yesu Kristo, si kwa maji tu,+ bali kwa maji na kwa damu.+ Na roho inatoa ushahidi,+ kwa sababu roho ndiyo kweli.