32 Yohana pia alitoa ushahidi akisema: “Niliona roho ikishuka kama njiwa kutoka mbinguni, nayo ikakaa juu yake.+ 33 Hata mimi sikumjua, bali Yule aliyenituma nikabatize katika maji aliniambia: ‘Yeyote ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake,+ huyo ndiye anayebatiza kwa roho takatifu.’+