Mathayo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+ Matendo 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa maana Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ baada ya siku chache.” Matendo 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi siku ya Sherehe ya Pentekoste+ ilipokuwa ikiendelea, wote walikuwa pamoja mahali palepale. Matendo 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 wote wakajazwa roho takatifu,+ wakaanza kusema katika lugha* mbalimbali, kama roho ilivyowawezesha kusema.+
11 Mimi ninawabatiza kwa maji kwa sababu mmetubu,+ lakini yule anayekuja baada yangu ana nguvu kuliko mimi, nami sistahili kuvivua viatu vyake.+ Yeye atawabatiza ninyi kwa roho takatifu+ na kwa moto.+
5 kwa maana Yohana, kwa kweli, alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa roho takatifu+ baada ya siku chache.”
4 wote wakajazwa roho takatifu,+ wakaanza kusema katika lugha* mbalimbali, kama roho ilivyowawezesha kusema.+