Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 1:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye alihubiri akisema: “Baada yangu, kuna mtu mwenye nguvu kuliko mimi anayekuja, nami sistahili kuinama ili kufungua kamba za viatu vyake.+ 8 Niliwabatiza ninyi kwa maji, lakini yeye atawabatiza kwa roho takatifu.”+

  • Yohana 1:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Hata mimi sikumjua, bali Yule aliyenituma nikabatize katika maji aliniambia: ‘Yeyote ambaye utaona roho ikishuka na kukaa juu yake,+ huyo ndiye anayebatiza kwa roho takatifu.’+

  • Matendo 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi siku ya Sherehe ya Pentekoste+ ilipokuwa ikiendelea, wote walikuwa pamoja mahali palepale.

  • Matendo 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 wote wakajazwa roho takatifu,+ wakaanza kusema katika lugha* mbalimbali, kama roho ilivyowawezesha kusema.+

  • 1 Wakorintho 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana kwa roho moja sote tulibatizwa katika mwili mmoja, iwe ni Wayahudi au ni Wagiriki, iwe ni watumwa au ni walio huru, nasi sote tulinyweshwa roho moja.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki