28 Jiangalieni wenyewe+ na kundi lote, ambalo kati yake roho takatifu imewaweka ninyi rasmi muwe waangalizi,+ mlichunge kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu ya Mwana wake mwenyewe.+
7 Kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa njia ya fidia kupitia damu ya huyo,+ ndiyo, msamaha wa makosa yetu,+ kulingana na utajiri wa fadhili zake zisizostahiliwa.