-
1 Petro 5:2-4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Lichungeni kundi la Mungu+ lililo chini ya utunzaji wenu, mkiwa waangalizi,* si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari mbele za Mungu;+ si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu; 3 si kupiga ubwana juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+ 4 Na mchungaji mkuu+ atakapofunuliwa, mtapokea taji la utukufu lisilofifia.+
-