Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Baada ya kupata kiamshakinywa, Yesu akamuuliza Simoni Petro: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda kuliko hawa?” Petro akamjibu: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.” Yesu akamwambia: “Lisha wanakondoo wangu.”+

  • Waefeso 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye alitoa wengine wawe mitume,+ wengine manabii,+ wengine waeneza injili,*+ wengine wachungaji na walimu,+

  • 1 Petro 5:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lichungeni kundi la Mungu+ lililo chini ya utunzaji wenu, mkiwa waangalizi,* si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari mbele za Mungu;+ si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu; 3 si kupiga ubwana juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+ 4 Na mchungaji mkuu+ atakapofunuliwa, mtapokea taji la utukufu lisilofifia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki