2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo; 3 Filipo na Bartholomayo;+ Tomasi+ na Mathayo+ mkusanya kodi; Yakobo mwana wa Alfayo; Thadayo; 4 Simoni Mkananayo; na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.+