Marko 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Alipokuwa akitembea kando ya Bahari ya Galilaya alimwona Simoni na Andrea ndugu yake+ wakishusha nyavu zao baharini,+ kwa maana walikuwa wavuvi.+ Yohana 1:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Andrea,+ ndugu ya Simoni Petro alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia mambo aliyosema Yohana na kumfuata Yesu.
16 Alipokuwa akitembea kando ya Bahari ya Galilaya alimwona Simoni na Andrea ndugu yake+ wakishusha nyavu zao baharini,+ kwa maana walikuwa wavuvi.+
40 Andrea,+ ndugu ya Simoni Petro alikuwa mmoja wa wale wawili waliosikia mambo aliyosema Yohana na kumfuata Yesu.