47 Alipokuwa bado akizungumza, tazama! Yuda, mmoja wa wale 12, akaja pamoja na umati mkubwa wakiwa na mapanga na marungu, walikuwa wametumwa na wakuu wa makuhani na wazee wa watu.+
18 Sisemi kuwahusu ninyi nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua. Lakini ilikuwa hivyo ili andiko hili litimizwe:+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’*+