-
Marko 3:16-19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Kile kikundi cha wanaume 12+ alichoanzisha* kilikuwa na Simoni, ambaye pia alimwita Petro,+ 17 Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo (ambao pia aliwaita Boanerge, jina linalomaanisha “Wana wa Ngurumo”),+ 18 Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,* 19 na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.
Kisha Yesu akaingia ndani ya nyumba,
-
-
Luka 6:13-16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Kulipokucha akawaita wanafunzi wake na kuchagua 12 kati yao, ambao pia aliwaita mitume:+ 14 Simoni, ambaye pia alimwita jina Petro, Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo,+ Bartholomayo, 15 Mathayo, Tomasi,+ Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni anayeitwa “mwenye bidii,” 16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote, aliyegeuka kuwa msaliti.
-