Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 3:16-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kile kikundi cha wanaume 12+ alichoanzisha* kilikuwa na Simoni, ambaye pia alimwita Petro,+ 17 Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo (ambao pia aliwaita Boanerge, jina linalomaanisha “Wana wa Ngurumo”),+ 18 Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,* 19 na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.

      Kisha Yesu akaingia ndani ya nyumba,

  • Luka 6:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kulipokucha akawaita wanafunzi wake na kuchagua 12 kati yao, ambao pia aliwaita mitume:+ 14 Simoni, ambaye pia alimwita jina Petro, Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo,+ Bartholomayo, 15 Mathayo, Tomasi,+ Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni anayeitwa “mwenye bidii,” 16 Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote, aliyegeuka kuwa msaliti.

  • Matendo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Walipofika, walienda kwenye chumba cha juu, walipokuwa wakikaa. Walikuwa Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomasi, Bartholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni mwenye bidii, na Yuda mwana wa Yakobo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki