Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Haya ndiyo majina ya wale mitume 12:+ Simoni, aitwaye Petro,+ na Andrea+ ndugu yake; Yakobo na Yohana+ wana wa Zebedayo; 3 Filipo na Bartholomayo;+ Tomasi+ na Mathayo+ mkusanya kodi; Yakobo mwana wa Alfayo; Thadayo; 4 Simoni Mkananayo;* na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.+

  • Marko 3:16-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kile kikundi cha wanaume 12+ alichoanzisha* kilikuwa na Simoni, ambaye pia alimwita Petro,+ 17 Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo (ambao pia aliwaita Boanerge, jina linalomaanisha “Wana wa Ngurumo”),+ 18 Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,* 19 na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.

      Kisha Yesu akaingia ndani ya nyumba,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki