Marko 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alipokuwa akipita, akamwona Lawi mwana wa Alfayo akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, akamwambia: “Njoo uwe mfuasi wangu.” Mara moja akasimama na kumfuata.+ Luka 5:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Baada ya mambo hayo akaenda nje na kumwona mkusanya kodi anayeitwa Lawi akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, akamwambia: “Njoo uwe mfuasi wangu.”+
14 Alipokuwa akipita, akamwona Lawi mwana wa Alfayo akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, akamwambia: “Njoo uwe mfuasi wangu.” Mara moja akasimama na kumfuata.+
27 Baada ya mambo hayo akaenda nje na kumwona mkusanya kodi anayeitwa Lawi akiwa ameketi kwenye ofisi ya kodi, akamwambia: “Njoo uwe mfuasi wangu.”+