-
Marko 3:14-19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 Akaanzisha* kikundi cha wanaume 12, ambao pia aliwaita mitume, nao wangefuatana naye, na angewatuma kuhubiri 15 na wangekuwa na mamlaka ya kufukuza roho waovu.+
16 Kile kikundi cha wanaume 12+ alichoanzisha* kilikuwa na Simoni, ambaye pia alimwita Petro,+ 17 Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo (ambao pia aliwaita Boanerge, jina linalomaanisha “Wana wa Ngurumo”),+ 18 Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomasi, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,* 19 na Yuda Iskariote, ambaye baadaye alimsaliti.
Kisha Yesu akaingia ndani ya nyumba,
-