16 Akamuuliza mara ya pili: “Simoni mwana wa Yohana, je, unanipenda?” Petro akamjibu: “Ndiyo, Bwana, unajua ninakupenda.” Yesu akamwambia: “Chunga kondoo wangu wadogo.”+
28 Jiangalieni wenyewe+ na kundi lote, ambalo kati yake roho takatifu imewaweka ninyi rasmi muwe waangalizi,+ mlichunge kutaniko la Mungu,+ ambalo alilinunua kwa damu ya Mwana wake mwenyewe.+