2 Lichungeni kundi la Mungu+ lililo chini ya utunzaji wenu, mkiwa waangalizi, si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari mbele za Mungu;+ si kwa kupenda pato lisilo la haki,+ bali kwa hamu; 3 si kupiga ubwana juu ya wale ambao ni urithi wa Mungu,+ bali kuwa vielelezo kwa kundi.+