Matendo 13:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi katika kutaniko la huko Antiokia kulikuwa na manabii na walimu:+ Barnaba, Simioni aliyeitwa Nigeri, Lukio wa Kirene, Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli. Yakobo 3:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ndugu zangu, si wengi kati yenu wanaopaswa kuwa walimu mkijua kwamba tutapokea hukumu nzito* zaidi.+
13 Basi katika kutaniko la huko Antiokia kulikuwa na manabii na walimu:+ Barnaba, Simioni aliyeitwa Nigeri, Lukio wa Kirene, Manaeni aliyeelimishwa pamoja na Herode mtawala wa wilaya, na Sauli.
3 Ndugu zangu, si wengi kati yenu wanaopaswa kuwa walimu mkijua kwamba tutapokea hukumu nzito* zaidi.+