28 Naye Mungu amewaweka watu mbalimbali katika kutaniko: kwanza, mitume;+ pili, manabii;+ tatu, walimu;+ kisha matendo yenye nguvu;+ kisha zawadi za uponyaji;+ huduma za kusaidia; uwezo wa kuelekeza;+ na lugha mbalimbali.+
11 Naye alitoa wengine wawe mitume,+ wengine manabii,+ wengine waeneza injili,*+ wengine wachungaji na walimu,+12 ili kuwarekebisha* watakatifu, kwa ajili ya kutimiza huduma, na kuujenga mwili wa Kristo,+