Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 23:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Roho ya Yehova ilisema kupitia mimi;+

      Neno lake lilikuwa kwenye ulimi wangu.+

  • Matendo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe, ambalo roho takatifu ilisema kinabii kupitia Daudi kumhusu Yuda,+ aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.+

  • Matendo 28:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Basi kwa sababu hawakukubaliana miongoni mwao, wakaanza kuondoka, naye Paulo akasema jambo hili moja:

      “Kwa kufaa roho takatifu ilisema kupitia Isaya nabii kwa mababu zenu,

  • 1 Petro 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waliendelea kuchunguza wakati hususa au majira ambayo roho iliyokuwa ndani yao ilikuwa ikionyesha kumhusu Kristo+ ilipokuwa ikitoa ushahidi mapema kuhusu mateso ya Kristo+ na kuhusu utukufu ambao ungefuata.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki