Luka 22:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Alipokuwa bado akizungumza, tazama! umati ukaja ukiongozwa na Yuda, mmoja wa wale 12, naye akamkaribia Yesu ili ambusu.+ Yohana 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Yuda akaja na kikosi cha wanajeshi, maofisa wa wakuu wa makuhani na wa Mafarisayo, wakafika hapo wakiwa na mienge, taa, na silaha.+
47 Alipokuwa bado akizungumza, tazama! umati ukaja ukiongozwa na Yuda, mmoja wa wale 12, naye akamkaribia Yesu ili ambusu.+
3 Basi Yuda akaja na kikosi cha wanajeshi, maofisa wa wakuu wa makuhani na wa Mafarisayo, wakafika hapo wakiwa na mienge, taa, na silaha.+