Isaya 43:20, 21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mnyama wa mwituni ataniheshimu,Mbwamwitu na mbuni,Kwa maana ninatokeza maji nyikani,Mito jangwani,+Ili watu wangu wanywe, naam, mchaguliwa wangu,+21 Watu niliojiumbiaIli watangaze sifa zangu.+
20 Mnyama wa mwituni ataniheshimu,Mbwamwitu na mbuni,Kwa maana ninatokeza maji nyikani,Mito jangwani,+Ili watu wangu wanywe, naam, mchaguliwa wangu,+21 Watu niliojiumbiaIli watangaze sifa zangu.+