Isaya 41:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Wenye uhitaji na maskini wanatafuta maji, lakini hayapo. Ulimi wao umekauka kwa sababu ya kiu.+ Mimi, Yehova, nitawajibu.+ Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.+ Yeremia 31:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Watakuja wakilia.+ Nitawaongoza huku wakiomba kibali. Nitawaongoza kwenye vijito vya* maji,+Kwenye kijia tambarare ambacho hakitawafanya wajikwae. Kwa maana mimi ni Baba ya Israeli, naye Efraimu ni mzaliwa wangu wa kwanza.”+
17 “Wenye uhitaji na maskini wanatafuta maji, lakini hayapo. Ulimi wao umekauka kwa sababu ya kiu.+ Mimi, Yehova, nitawajibu.+ Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.+
9 Watakuja wakilia.+ Nitawaongoza huku wakiomba kibali. Nitawaongoza kwenye vijito vya* maji,+Kwenye kijia tambarare ambacho hakitawafanya wajikwae. Kwa maana mimi ni Baba ya Israeli, naye Efraimu ni mzaliwa wangu wa kwanza.”+