Isaya 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Watu watakapokaa Sayuni, Yerusalemu,+ hamtalia kamwe.+ Kwa hakika atawaonyesha kibali mara tu atakaposikia kilio chenu cha kuomba msaada; atawajibu mara tu atakaposikia kilio chenu.+ Isaya 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+ Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle! Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+
19 Watu watakapokaa Sayuni, Yerusalemu,+ hamtalia kamwe.+ Kwa hakika atawaonyesha kibali mara tu atakaposikia kilio chenu cha kuomba msaada; atawajibu mara tu atakaposikia kilio chenu.+
55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+ Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle! Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+