11Sasa wakuu wa watu walikuwa wakiishi Yerusalemu;+ lakini watu wengine wote walipiga kura+ ili mtu mmoja kati ya watu kumi aishi Yerusalemu, lile jiji takatifu, na wale wengine tisa waliishi katika majiji mengine.
17 “Tangaza tena hivi kwa sauti: ‘Yehova wa majeshi anasema, “Majiji yangu yatafurika wema tena; na Yehova atalifariji tena Sayuni+ na kulichagua tena Yerusalemu.”’”+