Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Sasa wakuu wa watu walikuwa wakiishi Yerusalemu;+ lakini watu wengine wote walipiga kura+ ili mtu mmoja kati ya watu kumi aishi Yerusalemu, lile jiji takatifu, na wale wengine tisa waliishi katika majiji mengine.

  • Isaya 44:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Ninayesema kumhusu Koreshi,+ ‘Yeye ni mchungaji wangu,

      Naye atatimiza kikamili mapenzi yangu yote’;+

      Ninayesema kuhusu Yerusalemu, ‘Litajengwa upya,’

      Na kuhusu hekalu, ‘Msingi wako utawekwa.’”+

  • Isaya 62:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 62 Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni,+

      Nami sitatulia kwa ajili ya Yerusalemu

      Mpaka uadilifu wake ung’ae kama mwangaza mkali+

      Na wokovu wake uwake kama mwenge.+

  • Yeremia 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Kwa maana siku itafika ambayo walinzi walio kwenye milima ya Efraimu watapaza sauti wakisema:

      ‘Inukeni, twendeni juu Sayuni, kwa Yehova Mungu wetu.’”+

  • Zekaria 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Tangaza tena hivi kwa sauti: ‘Yehova wa majeshi anasema, “Majiji yangu yatafurika wema tena; na Yehova atalifariji tena Sayuni+ na kulichagua tena Yerusalemu.”’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki