Yeremia 29:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Kwa maana ninajua vizuri mawazo ninayofikiria kuwaelekea ninyi,’ asema Yehova, ‘mawazo ya amani, wala si ya msiba,+ ili niwape ninyi wakati ujao na tumaini.+ 12 Nanyi mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+
11 “‘Kwa maana ninajua vizuri mawazo ninayofikiria kuwaelekea ninyi,’ asema Yehova, ‘mawazo ya amani, wala si ya msiba,+ ili niwape ninyi wakati ujao na tumaini.+ 12 Nanyi mtaniita na kuja na kusali kwangu, nami nitawasikiliza.’+