Zaburi 42:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nina kiu kwa ajili ya Mungu, kwa ajili ya Mungu aliye hai.+ Nije lini na kuonekana mbele za Mungu?+ Zaburi 63:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+ Nina kiu kwa ajili yako.+ Ninazimia* kwa sababu ninakutamaniKatika nchi kame iliyokauka, ambayo haina maji.+ Amosi 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,‘Nitakapoleta njaa kali nchini,Si njaa kali ya chakula* au kiu ya maji,Bali ya kusikia maneno ya Yehova.+ Mathayo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na kiu+ ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.*+
2 Nina kiu kwa ajili ya Mungu, kwa ajili ya Mungu aliye hai.+ Nije lini na kuonekana mbele za Mungu?+
63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+ Nina kiu kwa ajili yako.+ Ninazimia* kwa sababu ninakutamaniKatika nchi kame iliyokauka, ambayo haina maji.+
11 ‘Tazama! Siku zinakuja,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova,‘Nitakapoleta njaa kali nchini,Si njaa kali ya chakula* au kiu ya maji,Bali ya kusikia maneno ya Yehova.+