Isaya 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+ Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle! Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+ Luka 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Wenye furaha ni ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashiba.+ “Wenye furaha ni ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.+
55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+ Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle! Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+
21 “Wenye furaha ni ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashiba.+ “Wenye furaha ni ninyi mnaolia sasa, kwa sababu mtacheka.+