Zaburi 107:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana amewatosheleza wenye kiu*Na kuwashibisha wenye njaa* kwa vitu vyema.+ Isaya 55:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+ Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle! Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+ Yeremia 31:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana nitamshibisha aliyechoka na kumjaza kila mtu aliyedhoofika.”+ Mathayo 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na kiu+ ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.*+
55 Njooni, ninyi nyote mlio na kiu,+ njooni kwenye maji!+ Ninyi msio na pesa, njooni, nunueni na mle! Naam, njooni, mnunue divai na maziwa+ bila pesa na bila gharama.+